Habari
Matangazo
Wahitimu wa Zamani
Wanachuo waliodahiliwa mwaka wa masomo 2015/2016 ni jumla ya wanafunzi 33, kati yao wanaume ni 28 na wanawake ni 5. Wanachuo wote walifanikiwa kumaliza masomo yao na kuajiriwa na Mamlaka ya Hali ya Hewa.
Wanachuo waliodahiliwa mwaka wa masomo 2015/2016 ni jumla ya wanafunzi 33, kati yao wanaume ni 28 na wanawake ni 5. Wanachuo wote walifanikiwa kumaliza masomo yao na kuajiriwa na Mamlaka ya Hali ya Hewa.