Je vigezo gani vya kujiunga na chuo?
Je vigezo gani vya kujiunga na chuo?
Awe amefaulu kidato cha sita katika masomo ya fizikia na hisabati kwa kiwango cha angalau ufaulu wa somo mojawapo na “subsidiary”. Awe na cheti cha NTA level 5 au cheti cha class III,katika ufaulu wa kuanzia pass